Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania
The Prime Minister's Office

Tanzania Commission for AIDS

Tanzania Commission for AIDS

News

MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI 2022


Serekali kupitia Tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imefanya maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambapo kitaifa yamefanyika Mkoani Lindi katika Viwanja vya Ilulu. Maonyesho yalianza tarehe 24 Novemba 2022 na kilele cha maadhimisho ni Tarehe 1 Desemba 2022 Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hasani