Kupambana na Unyanyapaa, Kujikataa na Ubaguzi:
- Haki za binadamu za WAVIU na familia zao zinalindwa kwa kutokuwa na tabia ya ubaguzi katika jamii na kupitia upatikanaji ulioboreshwa na huduma rafiki na zinazozingatia jinsia.
- Uongozi wa ngazi za juu (kisiasa, kimila na kijamii) unakuwepo na kutumika katika shughuli za kupunguza unyanyapaa na kupambana na ubaguzi.