The Tanzania Commission for AIDS
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Ofisi ya Waziri Mkuu

TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA
The Tanzania Commission for AIDS
TACAIDS
English | Kiswahili 
Home Taarifa za VVU/UKIMWI Matibabu na Huduma
Matibabu na Huduma Print
Matunzo na Matibabu: Mpango maalumu wa Tiba ya Kuongeza Kinga ya Mwili umetekelezwa na zaidi ya WAVIU 70,000 wamepewa matibabu hadi mwisho wa 2006, na Miradi ya matunzo nyumbani imepanuliwa hasa na vyama vya kiraia.

Lengo: Kupunguza kiwango cha kuugua na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa UKIMWI.

Kiashirio: Kiwango kwa asilimia ya watu wazima na watoto wenye maambukizo ya VVU ambao wanajulikana kuwa wako kwenye matibabu kwa muda wa miezi 12 tangu waanzishiwe dawa za ARV.