|
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Waziri Mkuu TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA |
|
![]() |
| English | |
| Upunguzaji Athari |
|
|
Watoto walio katika mazingira magumu: Msaada wa jamii, kwa watoto walio katika mazingira magumu kupitia mwitikio shirikishi unaimarishwa na kusaidiwa na utoaji huduma zilizopanuliwa.
Walioathiriwa: Uwezo wa watu binafsi, familia na jamii kushughulikia athari za VVU na UKIMWI unaimarishwa. Watu wanaoishi na VVU na UKIMWI (WAVIU) na wadau wengine wanawezeshwa kushughulikia ipasavyo mahitaji na haki kwa WAVIU kwa kuzingatia hali tofauti pamoja na mahitaji ya wanawake na wanaume.
|