The Tanzania Commission for AIDS
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Ofisi ya Waziri Mkuu

TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA
The Tanzania Commission for AIDS
TACAIDS
| English | 
Home Maeneo Makuu Upunguzaji wa Athari
Upunguzaji Athari Print

Watoto walio katika mazingira magumu:

Msaada wa jamii, kwa watoto walio katika mazingira magumu kupitia mwitikio shirikishi unaimarishwa na kusaidiwa na utoaji huduma zilizopanuliwa.

 

Walioathiriwa:

Uwezo wa watu binafsi, familia na jamii kushughulikia athari za VVU na UKIMWI unaimarishwa.

Watu wanaoishi na VVU na UKIMWI

Watu wanaoishi na VVU na UKIMWI (WAVIU) na wadau wengine wanawezeshwa kushughulikia ipasavyo mahitaji na haki kwa WAVIU kwa kuzingatia hali tofauti pamoja na mahitaji ya wanawake na wanaume.