The Tanzania Commission for AIDS
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Ofisi ya Waziri Mkuu

TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA
The Tanzania Commission for AIDS
TACAIDS
English | Kiswahili 
Home Ushirikiano Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania
Mfuko wa Maendeleo Print

Kufuatia kukamilika kwa mikataba ya Wakala wa Tume wa Mikoa [RFA], TACAIDS imeingia mkataba na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii ili kuendelea kupeleka fedha za MJADU [CARF] kwa Jamii. Aidha mkataba huu ulilenga kukamilisha utoaji wa fedha kutoka mradi wa TMAP amabo unamalizika mwezi Machi 2010