|
Wafuatao ni baadhi ya Washirika wa Maendeleo wanaoshirikiana na Serikali ya Tanzania katika mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI nchini Tanzania:
- Benki ya Dunia
- Mfuko wa Kimataifa wa Kupambana na UKIMWI Kifua Kikuu na Malaria
- Shirika la Misaada la Ubelgiji
- Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Kudhibiti UKIMWI
- Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa
- Mpango wa Chakula Duniani
- Shirika la Afya Duniani
- Shirika la Kilimo la Umoja wa Mataifa
- Ubalozi wa Ufaransa
- Idara ya Maendeleo ya Uingereza
- Shirika la Maendeleo la Uswidi
- Shirika la Misaada la Japan
- Shirika la Maendeleo la Canada
- Shirika la Maendeleo la Norway
- Shirika la Maendeleo la Ireland
- Shirika la Maendeleo la Denmark
- Ubalozi wa Falme ya Uholanzi
- Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa
- Mfuko wa Idadi ya Watu wa Umoja wa Mataifa
- Seikali ya Marekani
- Umoja wa Nchi za Ulaya
- Shirika la Misaada la Ujerumani
- Shirika la Maendeleo la Uswisi
|