|
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Waziri Mkuu TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA |
|
![]() |
English | Kiswahili |
| Mkakati wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI |
|
|
Mkakati wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI wa mwaka 2008 – 2012 unaendeleza maeneo manne yaliyodhamiriwa ya mkakati wa kwanza na kushughulikia matatizo na upungufu wa miaka iliyopita. Malengo ya Maeneo Yaliyodhamiriwa yamepanuliwa na kuboreshwa ili kutoa mfumo unaofaa kwa ajili ya upangaji wa utekelezaji katika ngazi ya taifa na halmashauri za wilaya kata na vijiji. Ufuatao ni muhtasari wa maeneo yaliyodhamiriwa na malengo ya kimkakati.
|