The Tanzania Commission for AIDS
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Ofisi ya Waziri Mkuu

TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA
The Tanzania Commission for AIDS
TACAIDS
English | Kiswahili 
Home Zabuni
Visababishi vya VVU/UKIMWI Print

Mwenendo na vibainishi vya janga la UKIMWI nchini ni vingi na vinaongozwa na uhusiano wa kingono wa watu wa vipengele vingi vya kijamii, kiutamaduni na kiuchumi. Kwa ujumla, vibainishi vya janga la UKIMWI nchini huenda visitofautiane sana na vile vya sehemu nyingine za Afrika zenye maambukizo ya UKIMWI yaliyoenea nchi nzima.

Miongoni mwa vipengele muhimu ni pamoja na vifuatavyo:

  • Uasherati
  • Matumizi madogo na yasiyo endelevu ya kondomu
  • Ngono za marika yanayotofautiana sana
  • Kuwa na wapenzi wengi.
  • Ukosefu wa elimu ya maambukizo ya UKIMWI
  • Kuwepo kwa maradhi mengi ya ngono kama vile tutuko, homa,
  • Jando kwa wanaume

Sababu za mahali husika, za kushamiri kwa janga nchini ni:

  • Umaskini na biashara ya ngono pamoja na ongezeko la wafanyabiashara wa ngono
  • Tabia mbaya za ngono za wanaume kutokana na kuruhusiwa kimila kuwa na nguvu
  • Kukosekana usawa wa kijamii, kiuchumi, kisiasa na kijinsia pamoja na unyanyaswaji wa wanawake na wasichana walio ndani na nje ya mahusiano.
  • Matumizi ya pombe na dawa za kulevya.
  • Tabia za kimila (kama vile utakasaji wajane na jando na unyago)
  • Safari za aina zote zinazosababisha kuwa mbali kwa wanandoa na ongezeko la mahawara
  • Kutokutahiriwa