Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania
The Prime Minister's Office

Tanzania Commission for AIDS

Tanzania Commission for AIDS

Events

ATF MARATHON 2023


Ofisi ya WazirI Mkuu kupitia Tume yakudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Imeandaa mbio za ushindi dhidi ya VVU zijulikanazo kama ATF Marathon 2023 Mkoani Morogoro

NAMNA YA KUJISAJILI

Usajili una bei tatu:

✓Kwa Mtu mmoja ni 40,000/=

✓Kwa mtu mmoja atakaye jisajili kabla ya tarehe 10/11/2023 ni 35,000/=

✓Kwa timu ya watu kuanzia 12 ni 30,000/=

Unaweza kujisajili Kwa kulipia kupitia lipa namba ya Tigo 5379242 Jina. AIDSTRUSTFUND

ATF Marathon itafanyika tarehe 26 November, 2023 Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro

Vifaa vitakavyopatikana:

✓Tshirt

✓Medal

✓Rope bag

✓BIB Number

Faida za kushiriki: Unaboresha afya, kufahamiana na watu wapya

pamoja na kusaidia kuboresha maisha ya Watu wanaoishi na VVU (WAVIU)

Kwa taarifa zaidi na ufadhili:

0758338681/0787443408

Karibuni sana 🙏