Majukumu
- Kuratibu wa shughuli za UKIMWI
- Kutengeneza Sera na Mikakati ya kudhibiti UKIMWI nchini
- Kufuatilia na kutathimini ugonjwa wa UKIMWI
- Uraghbishi na elimu kwa umma
- Kutafuta rasilimali na kugawa sawa kwa ajili ya UKIMWIKusaidia tafiti za UKIMWI, utoaji taarifa na makala kwa ajili ya kudhibiti UKIMWI
- Kusaidia juhudi za kutafuta tiba, kuongeza huduma ya tiba na kutengeneza chanjo ya UKIMWI.
- Kusambaza taarifa kuhusu UKIMWI na madhara yake kwa nchini nzima.

