Welcome to the official website of the Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS). Our mission is to coordinate and lead a multisectoral response to HIV and AIDS, ensuring that no individual, family, or c...
Read More
Elimu ya VVU na UKIMWI ikitolewa wakati wa maonesho ya kitaifa ya Huduma za Kifedha katika viwanja vya Usagara jijini Tanga
Elimu ya VVU na UKIMWI ikitolewa wakati wa maonesho ya kitaifa ya Huduma za Kifedha katika viwanja vya Usagara jijini Tanga
Bi Naomi Mwakifamba akitoa elimu ya VVU na UKIMWI wakati wa maonesho ya Biashara ya Kimataifa Zanzibar (ZITF) katika viwanja vya Dimani Zanzibar
Kaimu Meneja wa Dawati la kuratibu shughuli za UKIMWI kwenye sekta binafsi na za Umma Dkt. Hafidh Ameir akitoa elimu ya matumizi sahihi ya kondom kwa baadhi ya vijana wa kata ya Viwandani Jijini Dodoma ikiwa ni jitihada za kupunguza maambukizi ya VVU kwa vijana
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Samwel Sumba akitoa salamu za TACAIDS wakati wa maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani 2025 yaliyofanyika jijini Dar es salaam tarehe 1 Disemba, 2025
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Mhe. William Lukuvi (Mb) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya TACAIDS baada ya kutoa Tamko la Serikali la Siku ya UKIMWI Duniani 2025