Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu. Dkt. Jim Yonaz (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na watendaji mbalimbali alipotembelea kituo cha maarifa cha kutolea huduma na elimu ya VVU na UKIMWI kwa madereva wa malori ya masafa marefu kilichopo Dumila