Welcome to the official website of the Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS). Our mission is to coordinate and lead a multisectoral response to HIV and AIDS, ensuring that no individual, family, or c...
Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Adam Joseph Mrisho, akizungumza na Watumishi wa TACAIDS (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi cha kutambua malengo na shabaha za TACAIDS kwa mwaka wa fedha 2026/2027
Kulia ni aliyekua Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Samwel Sumba akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Adam Joseph Mrisho nyaraka muhimu za TACAIDS kwa ajili ya kuanza utendaji rasmi
Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS akizungumza wakati wa kuwasilisha bajeti ya TACAIDS kwenye kamati ya kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI
Waziri wa Afya. Mhe. Mohamed Mchengerwa akiwasilisha bajeti ya TACAIDS kwenye kamati ya kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu (SBUU) Dkt Jim Yonaz (kulia) akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt Adam Mrisho. Ofisi za Waziri Mkuu jijini Dodoma