Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb) amefanya ziara katika Mkoa wa Morogoro na kutembelea mradi wa mashine ya kidigitali ya kusambaza kondomu (Condom Vending Mashine) ambayo inayotekelezwa na TACAIDS chini ya Uratibu wa Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu.