Welcome to the official website of the Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS). Our mission is to coordinate and lead a multisectoral response to HIV and AIDS, ensuring that no individual, family, or c...
Read More
Meneja wa Utafiti na Ubunifu kutoka TACAIDS Ndugu Nyangusi Laiser akiwasilisha mada wakati wa mafunzo kwa taasisi zilizopata ruzuku kutoka kwenye mfuko wa Kili Trust kupitia programu ya Kili Challenge
Wawakilishi kutoka kwenye taasisi zilizonufaika kwa kupata ruzuku kutoka kwenye mfuko wa Kili Trust kupitia programu ya Kili Challenge wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kupata mafunzo juu ya uendeshaji bora wamiradi waliyofadhiliwa
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Samweli Sumba (Kulia) akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu kutoka LATRA Dkt. Habibu Suluo (kushoto) wakijadili namna ya kuboresha upatikanaji wa rasilimali za ndani kwa ajili ya mwitikio wa VVU na UKIMWI nchini
Kaimu Meneja wa Sehemu ya Vijana kutoka TACAIDS Dkt. Magreth Kagashe akiwasilisha mada wakati wa kikao kazi cha wadau wanaotekeleza mradi wa DREMS nchini kilichofanyika jijini Dodoma
Elimu ya VVU na UKIMWI ikitolewa wakati wa maonesho ya kitaifa ya Huduma za Kifedha katika viwanja vya Usagara jijini Tanga
Bi Naomi Mwakifamba akitoa elimu ya VVU na UKIMWI wakati wa maonesho ya Biashara ya Kimataifa Zanzibar (ZITF) katika viwanja vya Dimani Zanzibar