Welcome to the official website of the Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS). Our mission is to coordinate and lead a multisectoral response to HIV and AIDS, ensuring that no individual, family, or c...
Read More
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Samweli Sumba (Kulia) akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu kutoka LATRA Dkt. Habibu Suluo (kushoto) wakijadili namna ya kuboresha upatikanaji wa rasilimali za ndani kwa ajili ya mwitikio wa VVU na UKIMWI nchini
Kaimu Meneja wa Sehemu ya Vijana kutoka TACAIDS Dkt. Magreth Kagashe akiwasilisha mada wakati wa kikao kazi cha wadau wanaotekeleza mradi wa DREMS nchini kilichofanyika jijini Dodoma
Elimu ya VVU na UKIMWI ikitolewa wakati wa maonesho ya kitaifa ya Huduma za Kifedha katika viwanja vya Usagara jijini Tanga
Elimu ya VVU na UKIMWI ikitolewa wakati wa maonesho ya kitaifa ya Huduma za Kifedha katika viwanja vya Usagara jijini Tanga
Bi Naomi Mwakifamba akitoa elimu ya VVU na UKIMWI wakati wa maonesho ya Biashara ya Kimataifa Zanzibar (ZITF) katika viwanja vya Dimani Zanzibar
Kaimu Meneja wa Dawati la kuratibu shughuli za UKIMWI kwenye sekta binafsi na za Umma Dkt. Hafidh Ameir akitoa elimu ya matumizi sahihi ya kondom kwa baadhi ya vijana wa kata ya Viwandani Jijini Dodoma ikiwa ni jitihada za kupunguza maambukizi ya VVU kwa vijana
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Samwel Sumba akitoa salamu za TACAIDS wakati wa maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani 2025 yaliyofanyika jijini Dar es salaam tarehe 1 Disemba, 2025