TACAIDS website aims at disseminating and sharing of HIV and AIDS information and experience among stakeholders for proper implementation of various programs.You are welcome.Dr. Leonard L. MabokoEXECU...
Read More
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yalioazimishwa tarehe 1 Desemba 2022 uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluh Hassan akihutubia Wananchi kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, Kitaifa yalifanyika Mkoani Lindi katika viwanja vya Ilulu tarehe 1Desemba 2022.
Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Leonard Maboko akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambapo Kitaifa yamefanyika Mkoani Lindi Desemba 1, 2022 katika Viwanja vya Ilulu.
Mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluh Hassan akisalimiana na Viongozi walio mpokea alipo wasili uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi mapema leo tarehe 1 Desemba 2022
Watumishi wa Tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAID) wakiwa katika kilele cha Mlima Kilimanjari baada ya kushiriki kupamda Mlima
kupitia Kampein ya Kilimanjaro challenge Against HIV and AIDS 2022