Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Bi. Being'i Issa (Katikati) akisikiliza maelezo kuhusu Ushamiri wa VVU Nchini wakati alipotembelea Banda la TACAIDS katika Viwanja vya Sabasaba Mkoani Dar es salaam. Anayetoa maelezo ni Bw. Gilbert Mbwambo