Welcome to the official website of the Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS). Our mission is to coordinate and lead a multisectoral response to HIV and AIDS, ensuring that no individual, family, or c...
Read More
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu (SBUU) Dkt James Kilabuko (kulia) akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt Adam Mrisho. Ofisi za Waziri Mkuu jijini Dodoma
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu (SBUU) Dkt Jim Yonaz (kulia) akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt Adam Mrisho. Ofisi za Waziri Mkuu jijini Dodoma
Meneja wa Utafiti na Ubunifu kutoka TACAIDS Ndugu Nyangusi Laiser akiwasilisha mada wakati wa mafunzo kwa taasisi zilizopata ruzuku kutoka kwenye mfuko wa Kili Trust kupitia programu ya Kili Challenge
Wawakilishi kutoka kwenye taasisi zilizonufaika kwa kupata ruzuku kutoka kwenye mfuko wa Kili Trust kupitia programu ya Kili Challenge wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kupata mafunzo juu ya uendeshaji bora wamiradi waliyofadhiliwa
Kaimu Meneja wa Sehemu ya Vijana kutoka TACAIDS Dkt. Magreth Kagashe akiwasilisha mada wakati wa kikao kazi cha wadau wanaotekeleza mradi wa DREMS nchini kilichofanyika jijini Dodoma
Elimu ya VVU na UKIMWI ikitolewa wakati wa maonesho ya kitaifa ya Huduma za Kifedha katika viwanja vya Usagara jijini Tanga
Bi Naomi Mwakifamba akitoa elimu ya VVU na UKIMWI wakati wa maonesho ya Biashara ya Kimataifa Zanzibar (ZITF) katika viwanja vya Dimani Zanzibar