Welcome to the official website of the Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS). Our mission is to coordinate and lead a multisectoral response to HIV and AIDS, ensuring that no individual, family, or c...
Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS akizungumza wakati wa kuwasilisha bajeti ya TACAIDS kwenye kamati ya kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI
Waziri wa Afya. Mhe. Mohamed Mchengerwa akiwasilisha bajeti ya TACAIDS kwenye kamati ya kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI
Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Dkt. Johannes Lukumay akizungumza wakati TACAIDS ilipokuwa ikiwasilisha bajeti yake kwenye kamati hiyo
Buriani Mhe. William V. Lukuvi
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu (SBUU) Dkt Jim Yonaz (kulia) akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt Adam Mrisho. Ofisi za Waziri Mkuu jijini Dodoma
Wawakilishi kutoka kwenye taasisi zilizonufaika kwa kupata ruzuku kutoka kwenye mfuko wa Kili Trust kupitia programu ya Kili Challenge wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kupata mafunzo juu ya uendeshaji bora wamiradi waliyofadhiliwa
Elimu ya VVU na UKIMWI ikitolewa wakati wa maonesho ya kitaifa ya Huduma za Kifedha katika viwanja vya Usagara jijini Tanga