News
BALOZI WAZIRI SALUM ATEMBELEA BANDA LA TACAIDS KWENYE MAONESHO YA BIASHARA -SABASABA 2026
katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum amepata fursa ya kutembelea banda la TACAIDS lililopo kwenye banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu kujionea huduma zinazotolewa na TACAIDS, ikiwemo elimu ya VVU na UKIMWI, huduma za ushauri nasaha na upimaji wa VVU bila malipo, magonjwa yasiyoambukiza pamoja na jitihada za kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu katika kuimarisha Mwitikio dhidi ya VVU na UKIMWI.

