Events
MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI 2021
![](https://www.tacaids.go.tz/uploads/events/1637224167-IMG-20211115-WA0158.jpg)
Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani Kitaifa yatafanyika Mkoani Mbeya Katika Viwanja vya Ruanda-Nzovwe. Maonyesho yataanza tarehe 24/11/2021 mpaka tarehe 01/12/2021 ambayo ni siku ya kilele. Mgeni rasmi atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hasani.