Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania
The Prime Minister's Office

Tanzania Commission for AIDS

Tanzania Commission for AIDS

Events

MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI 2021


Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani Kitaifa yatafanyika Mkoani Mbeya Katika Viwanja vya Ruanda-Nzovwe. Maonyesho yataanza tarehe 24/11/2021 mpaka tarehe 01/12/2021 ambayo ni siku ya kilele. Mgeni rasmi atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hasani.