Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania
The Prime Minister's Office

Tanzania Commission for AIDS

Tanzania Commission for AIDS

News

MAONYESHO YA KIMATAIFA YA WAFANYA BIASHARA SABASABA


Tume yakudhibiti UKIMWI Imeshiriki Maonyesho ya Kimataifa ya Wafanya Biashara Sabasaba Mkoani Dar es salaam. Maonyesho yameanza tarehe 28 Juni mpaka terehe 13 Julai. Katika maonyesho haya Tume itatoa elimu ya VVU na UKIMWI kwa Wananchi, Majukumu ya Tume, Kutoa miongozo na mikakati mbali mbali ya kupambana na UKIMWI pamoja na kuhamasisha uchangiaji wa mfuko wa ATF.