News
HAFLA YA KIKAO KAZI NA WADAU WA VVU NA UKIMWI KATIKA KUIMARISHA MWITIKIO WA UKIMWI NCHINI
Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Adam Mrisho akimpokea Mgeni rasmi ambaye ni Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dkt.Toba Nguvila katika hafla ya ufunguzi wa kikao kazi kilichoratibiwa na TACAIDS kupitia OWM SBUU, kwa kushirikiana na Sekretariet ya Mkoa-Arusha, Wadau wa Utalii, Afya, Mawasiliano kwa lengo la kujadili fursa katika kuboresha mashirikiano kwenye mwitikio wa VVU na UKIMWI

